Luke 24:3-4

3 alakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Isa. 4 bWalipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayong’aa kama umeme wakasimama karibu nao.
Copyright information for SwhKC